QUR-AN kuhusu faida za kutumia mali katika njia ya Mwenyezi Mungu.

Al-Baqarah 2:261

مَّثَلُ ٱلَّذِينَ يُنفِقُونَ أَمْوَٰلَهُمْ فِى سَبِيلِ ٱللَّهِ كَمَثَلِ حَبَّةٍ أَنۢبَتَتْ سَبْعَ سَنَابِلَ فِى كُلِّ سُنۢبُلَةٍ مِّا۟ئَةُ حَبَّةٍۗ وَٱللَّهُ يُضَٰعِفُ لِمَن يَشَآءُۗ وَٱللَّهُ وَٰسِعٌ عَلِيمٌ 

Mfano wa wanao tumia mali zao katika Njia ya Mwenyezi Mungu ni kama mfano wa punje moja iliyo chipuza mashuke saba. Katika kila shuke zimo punje mia. Na Mwenyezi Mungu humzidishia amtakaye, na Mwenyezi Mungu ni Mwenye wasaa na Mwenye kujua.




Comments

Popular posts from this blog

Akaunti za mitandao ya kijamii za FADHWAAILUL AYTAAM GROUP

Ziara ya FADHWAAILUL AYTAAM GROUP ya kuwatembelea yatima

SURAH AT-TALAQ 65:7