ALLAH alivyozungumzia ndani ya Qur an kuhusu kutoa swadaka

At-Talaq 65:7

لِيُنفِقْ ذُو سَعَةٍ مِّن سَعَتِهِۦۖ وَمَن قُدِرَ عَلَيْهِ رِزْقُهُۥ فَلْيُنفِقْ مِمَّآ ءَاتَىٰهُ ٱللَّهُۚ لَا يُكَلِّفُ ٱللَّهُ نَفْسًا إِلَّا مَآ ءَاتَىٰهَاۚ سَيَجْعَلُ ٱللَّهُ بَعْدَ عُسْرٍ يُسْرًا 

Mwenye wasaa atoe kadiri ya wasaa wake, na mwenye dhiki atoe katika alicho mpa Mwenyezi Mungu. Mwenyezi Mungu hamkalifishi mtu ila kwa kadiri ya alicho mpa. Mwenyezi Mungu atajaalia baada ya dhiki faraji.

Comments

Popular posts from this blog

Akaunti za mitandao ya kijamii za FADHWAAILUL AYTAAM GROUP

Ziara ya FADHWAAILUL AYTAAM GROUP ya kuwatembelea yatima

SURAH AT-TALAQ 65:7